Ticker

6/recent/ticker-posts

Probio 3 BFSUMA (je unasumbuliwa na vidonda vya tumbo,changamoto ya mmeng'enyo wa chakula)

     


FAIDA ZA KUTUMIA PROBIO 3
Hii ni product ambayo imetengenezwa kwa probiotic bacteria wa aina tatu. Ndiyo maana inaitwa probio3.:
➡️Katika Tumbo / mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuna bacteria takriban Trillions ambao humo wapo wazuri na wabaya.
Bacteria hawa wakiwa hawako katika uwiano ulio sawa yaani bacteria wabaya wakizidi kushambulia tumbo ndipo mwanadam huanza kupata maumivu ya tumbo.
Kutokana na hilo ndipo Bf Suma kwa tafit ilizofanya wakatengeneza Probio3 ili wale wenye changamoto waweze kutumia na kuondoa changamoto husika.
Probio3 ya Bf Suma kila sachet moja huwa na ujazo wa bacteria wazuri billion 200. Hivyo ndiyo maana mtumiaji hupata matokeo haraka kutokana na utendaji wake.
KAZI ZA PROBIO 3
✍️Kuondoa bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo.
✍️Husaidia kukausha vidonda vya tumbo
✍️Huwafaa zaidi wenye vidonda vya tumbo na wenye changamoto za figo
✍️Husaidia kurepair tumbo na kulifanya tumbo liwe katika asili yake.
✍️Humsaidia mwenye kansa ya utumbo.
✍️Husaidi pia kuondoa mawe kwenye figo
✍️Huongeza kinga ya mwili ( Tumbo)
✍️Huondoa sumu mwilini.

BOFYA HAPA kuwasiliana nasi